Ali Qassem

IQNA

IQNA – Ali Qassem ni mwandishi wa hati (khatati au kaligrafia) kutoka nchini Yemen ambaye amejitolea katika kuhifadhi mapokeo ya kale ya uandishi wa Qur’ani Tukufu kwa kutumia hati ya Kiuthmaniya (Rasm al-Uthmani).
Habari ID: 3482548   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/28